Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?
Manage episode 417284835 series 1220196
Katika makala haya mtetezi wa haki za mtoto wa kiume Faith Maina Wanjiku, anasisitiza kwamba kampeini za kumpa uwezo mtoto wa kike ndizo zimechangia kudidimia kwa hadhi ya mtoto wa kiume.
Wajiku Maina raia kutoka nchini Kenya, anasema katika jamii ya leo hakuna anayeshughulikia haki na majukumu ya mtoto wa kiume, hali ambayo imechangia kizazi kizembe cha mtoto wa kiume.
Skiza makala haya kufahamu suluhu kwa baadhi ya changamoto za mtoto wa kiume.
24 επεισόδια