Elimu δημόσια
[search 0]
Περισσότερα
Download the App!
show episodes
 
Loading …
show series
 
Huku Farahani na Sule wakiota kuwa na maisha bora Ulaya, mwanafunzi Linda tayari yuko njiani kuelekea huko. Mchezo huu unalinganisha ndoto za vijana wa Kiafrika za kusoma na kufanya kazi Ulaya na hali halisi ya mambo.Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Kila binaadamu hapa duniani ana haki ya uhuru na usawa - kwa mujibu wa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binaadamu. Lakini katika mataifa mengi barani Afrika, utakuta haki hizi zinaendelea kukanyagwa na kukiukwa.Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Mtandao wa Intaneti ni lango kuu la kujiunga na jamii duniani. Hata hivyo bado watu wengi hawana uwezo wa kuitumia. Wafanyakazi katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wanajaribu kulibadilisha suala hili.Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Mwanamke kizee akamwambia Amadou. “Usijiingize katika hali usizoweza kukabiliana nazo! Fuata maagizo yangu.” Lakini wakati mwingine inahitaji uhodari mkubwa mtu kukubali udhaifu wake, kama Amadou atakavyogunduaΑπό τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Kassi na Kaloo – marafiki wasioweza kutenganishwa! Angalau hali ilikuwa hivyo kabla farasi hao wawili wa kupendeza kupandwa na wafalme wawili mahasimu. Watafanya nini wakati vita vitakapozuka kati ya falme zinazopigana?Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Zapcom na timu yake wameibadili taswira ya kijiji chao. Katika kipindi hiki cha mwisho, timu yetu inatuaga huku ikiendelea kutafuta fursa kubwa zinazotolewa na teknolojia mpya ya mawasiliano kwa bara laf Afrika.Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Zapcom na timu yake wanagundua fursa chungu tele za mawasiliano ya kisasa kila kuchao. Wanajifunza pia jinsi ya kutumia ujuzi huu mpya katika maisha yao ya kila siku – hata katika mkahawa mdogo wa mjomba Kiilu kijijini.Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Tangu katikati ya karne ya 20 mataifa yote ya Afrika wamejipatia uhuru. La huzuni ni kwamba baadhi yao yalilazimika kupigana vita vya umwagaji damu kujikomboa, hasa yale yaliyokuwa chini ya utawala wa Wareno. Sawa, babu?Από τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Katika ufalme wa zamani wa Ashanti, msichana kuvunja ungo na kuwa mwanamke lilikuwa tukio kubwa, na kila mtu alialikwa kusherekea kukua kwake! Hiyo ilikuwa mpaka ngoma zilipopigwa kutangaza kuwasili kwa mzunguΑπό τον DW.COM | Deutsche Welle
  continue reading
 
Loading …

Οδηγός γρήγορης αναφοράς